iqna

IQNA

shah cheragh
Diplomasia
NEW YORK (IQNA)- Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetoa taarifa inayolaani shambulio la hivi karibuni la kigaidi katika Haram Takatifu ya Hadhrat Ahmad bin Musa (AS) maarufu kama Shah Cheragh mkoani Fars kusini mwa Iran.
Habari ID: 3477449    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/17

Maoni
TEHRAN (IQNA)- Takriban miezi 10 baada ya shambulio la kigaidi la mwaka jana kwenye Haram Takatifu ya Hadhrat Ahmad bin Musa (AS) maarufu kama Shah Cheragh mjini Shiraz kusini mwa Iran, magaidi walishambulia tena eneo hilo takatifu siku ya Jumapili, na matokeo yake yakawa ni kuuawa shahid waumini wawili na wengine wanane kujeruhiwa.
Habari ID: 3477448    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/16

Hujuma ya kigaidi
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Iran Ebrahim Raisi amewaagiza Waziri wa Mambo ya Ndani Ahmad Vahidi na Gavana wa Mkoa wa Fars Mohammad Hadi Imaniyeh wawatambue haraka na kuwaadhibu wahusika wa shambulio la kigaidi katika Haram Takatifu ya Hadhrat Ahmad bin Musa (AS) maarufu kama Shah Cheragh mjini Shiraz kusini mwa Iran.
Habari ID: 3477434    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/14

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonana na familia za watu waliouawa shahidi katika shambulio ya kigaidi la Haram ya Shah Cheragh AS mjini Shiraz na kusema kuwa, shambulio hilo limeifedhehesha Marekani na kuonesha unafiki wao na roho zao mbaya.
Habari ID: 3476275    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/20

Jinai dhidi ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Intelijensia (Usalama) ya Iran imesema kuwa, vikosi vya usalama nchini vimewatia mbaroni magaidi 26 wakufurishaji ambao walihusika na shambulio la hivi karibuni la kigaidi kwenye Haram Takatifu ya Shah Cheragh katika mkoa wa kusini wa Fars na kuongeza kuwa, mratibu mkuu wa machafuko hayo hatari ni raia wa Jamhuri ya Azerbaijan.
Habari ID: 3476053    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/07

Hujuma ya kigaidi
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Intelijensia (Usalama) ya Iran imetangaza kuwa, imewatambua na kuwatia nguvuni watu sita katika timu ya usaidizi ya magaidi watenda jinai dhidi ya Haram takatifu ya Ahmad bin Musa (AS) maarufu kama Shah Cheragh huko katika mji wa Shiraz.
Habari ID: 3476015    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/31

Hujuma ya kigaidi
TEHRAN (IQNA)- Kamanda wa Kikosi cha Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametoa onyo kali kwa maadui, akisema kuwa vikosi vya Iran havina kikomo linapokuja suala la kulinda usalama wa nchi.
Habari ID: 3476008    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/30

Njama dhidi ya Iran
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa jiji la Tehran na miji yote ya Iran, leo baada ya Sala za Ijumaa, wamefanya maandamano makubwa ya nchi nzima kulaani shambulio la kigaidi lililotokea juzi Jumatano katika Haram Tukufu ya Shah Cheragh ya mjini Shiraz, kusini magharibi mwa Iran. Genge la kigaidi la ISIS limetangaza kuhusika na jinai hiyo.
Habari ID: 3475997    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/28

Hujuma ya kigaidi
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itatoa jibu kali na la kujutisha kwa wale waliohusika katika shambulio la kigaidi dhidi ya Haram Tukufu ya Shah Cheragh mjini Shiraz, kusini magharibi mwa nchi.
Habari ID: 3475993    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/27

Ugaidi dhidi ya raia
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya watu 15 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya gaidi aliyekuwa na silaha nzito kushambulia eneo takatifu katika mkoa wa kusini magharibi mwa Iran wa Fars siku ya Jumatano.
Habari ID: 3475990    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/26